Wednesday, August 31, 2016

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha


UTEUZI: Rais John Magufuli amemteua Dotto James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Kufuatia uteuzi huo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile atapangiwa kazi nyingine.

No comments:

Post a Comment